Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya mambo hayo kufanywa, wakuu wakaja na kuniambia: “Watu wa Israeli na makuhani na Walawi hawajajitenga na watu wa mataifa ya nchi mbalimbali na mazoea yao yanayochukiza,+ ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri,+ na Waamori.+ 2 Wamejichukulia baadhi ya mabinti wa mataifa hayo kuwa wake zao na kuwachukulia wana wao pia.+ Sasa wao, uzao mtakatifu,*+ wamechanganyika na watu wa mataifa ya nchi mbalimbali.+ Wakuu na watawala wasaidizi ndio wanaoongoza katika ukosefu huu wa uaminifu.”

  • Nehemia 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mara tu waliposikia Sheria, wakaanza kuwatenga watu wote wenye asili ya kigeni* ili wasichangamane na Waisraeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki