Nehemia 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ Nehemia 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mara tu waliposikia Sheria, wakaanza kuwatenga watu wote wenye asili ya kigeni* ili wasichangamane na Waisraeli.+
13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+
3 Mara tu waliposikia Sheria, wakaanza kuwatenga watu wote wenye asili ya kigeni* ili wasichangamane na Waisraeli.+