21 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Israeli,+ ambao Mungu wa kweli alikwenda kujikombolea mwenyewe wawe kikundi cha watu,+ ili kujipa jina la mafanikio makubwa+ na mambo yenye kuogopesha kwa kuyafukuza mataifa+ kutoka mbele ya watu wako ambao umewakomboa kutoka Misri?