18Na ikawa kwamba baada ya siku nyingi neno la Yehova likamjia Eliya katika mwaka wa tatu, na kusema: “Nenda, jionyeshe kwa Ahabu, kwa kuwa nimeazimia kunyesha mvua+ juu ya uso wa nchi.”+
17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu,+ na bado katika sala alisali mvua isinyeshe;+ na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.