Obadia 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wahamishwa wa boma hili,+ wana wa Israeli, eneo lililomilikiwa na Wakanaani+ mpaka Sarefathi+ litakuwa lao. Na wahamishwa wa Yerusalemu, waliokuwa katika Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+ Luka 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 lakini Eliya hakutumwa kwenda kwa hata mmoja wa wanawake hao, ila tu kwenda Sarefathi+ katika nchi ya Sidoni kwa mjane mmoja.
20 Nao wahamishwa wa boma hili,+ wana wa Israeli, eneo lililomilikiwa na Wakanaani+ mpaka Sarefathi+ litakuwa lao. Na wahamishwa wa Yerusalemu, waliokuwa katika Sefaradi, watamiliki majiji ya Negebu.+
26 lakini Eliya hakutumwa kwenda kwa hata mmoja wa wanawake hao, ila tu kwenda Sarefathi+ katika nchi ya Sidoni kwa mjane mmoja.