7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa+ na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na upungufu wa chakula+ na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine.
25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia ninyi, Kulikuwa na wajane wengi katika Israeli siku za Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, hivi kwamba njaa kubwa ikatokea katika nchi yote,+