22 Nitakipindua kiti cha falme na kuangamiza nguvu za falme za mataifa.+ Nitalipindua gari na wapandaji wake, na farasi na wapandaji wao wataanguka,+ kila mmoja kwa upanga wa ndugu yake.’ ”+
8 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine, kutakuwa na upungufu wa chakula.+ Hayo ni mwanzo wa maumivu ya taabu.+
4 Na mwingine akatokea, farasi mwenye rangi ya moto; na yeye anayeketi juu yake akapewa ruhusa ya kuondoa amani duniani ili wauane; naye akapewa upanga mkubwa.+