40 “Na wakati wa mwisho mfalme wa kusini+ atasukumana naye, na mfalme wa kaskazini atafanya mashambulizi makali juu yake kwa magari na kwa wapanda-farasi na kwa meli nyingi; naye ataingia katika nchi hizo na kufurika na kupita katikati.
7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa+ na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na upungufu wa chakula+ na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine.