7 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa+ na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na upungufu wa chakula+ na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine.
8 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine, kutakuwa na upungufu wa chakula.+ Hayo ni mwanzo wa maumivu ya taabu.+