Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi, na katika mahali pamoja baada ya pengine kutakuwa na tauni na upungufu wa chakula;+ kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.+

  • Ufunuo 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia sauti kana kwamba ni katikati+ ya wale viumbe hai wanne+ ikisema: “Kibaba cha ngano kwa dinari+ moja, na vibaba vitatu vya shayiri kwa dinari moja; wala usidhuru mafuta ya zeituni na divai.”+

  • Ufunuo 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nikaona, na, tazama! farasi wa rangi ya kijivu; na yeye anayeketi juu yake alikuwa na jina Kifo. Na Kaburi*+ lilikuwa likimfuata kwa ukaribu. Nao wakapewa mamlaka juu ya sehemu ya nne ya dunia, ili kuua kwa upanga+ mrefu na kwa upungufu wa chakula+ na kwa pigo lenye kufisha na kwa wanyama-mwitu+ wa dunia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki