Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na itakuwa kwamba ikiwa watakuambia, ‘Tutoke twende wapi?’ wewe pia uwaambie, ‘Yehova amesema hivi: “Yeyote aliyekusudiwa tauni yenye kufisha, aende kwenye tauni yenye kufisha! Na yeyote aliyekusudiwa upanga, aende kwenye upanga! Na yeyote aliyekusudiwa njaa, aende kwenye njaa!+ Na yeyote aliyekusudiwa kwenda utekwani, aende utekwani!”’+

  • Ezekieli 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami nitatuma juu yenu njaa na wanyama-mwitu wenye kudhuru,+ nao watawaua watoto wenu, na tauni+ na damu+ zitapitia katikati yenu, nami nitauleta upanga juu yenu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’”

  • Luka 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi, na katika mahali pamoja baada ya pengine kutakuwa na tauni na upungufu wa chakula;+ kutakuwa na mambo yenye kuogopesha na ishara kubwa kutoka mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki