-
Marko 13:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 “Kwa maana taifa litainuka dhidi ya taifa na ufalme dhidi ya ufalme, kutakuwa na matetemeko ya dunia mahali pamoja baada ya pengine, kutakuwa na upungufu wa chakula. Hayo ni mwanzo wa maumivu makali ya ghafula ya taabu.
-