8 “Kwa maana taifa litapigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme;+ kutakuwa na matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali; pia kutakuwa na upungufu wa chakula.+ Mambo hayo ni mwanzo wa maumivu ya taabu.+
8 “Kwa maana taifa litasimama kupigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme,+ kutakuwa na matetemeko ya nchi+ mahali pamoja baada ya pengine, kutakuwa na upungufu wa chakula.+ Hayo ni mwanzo wa maumivu ya taabu.+