1 Samweli 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Sauli akaanza kutambua sauti ya Daudi na kusema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Daudi akasema: “Ni sauti yangu, bwana wangu mfalme.” 2 Wafalme 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+ 1 Petro 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+
17 Naye Sauli akaanza kutambua sauti ya Daudi na kusema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Daudi akasema: “Ni sauti yangu, bwana wangu mfalme.”
26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+
17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+