1 Samweli 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu. 1 Samweli 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipomaliza kumwambia Sauli maneno hayo, Sauli akasema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Sauli akapaaza sauti yake, akalia.+
8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu.
16 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipomaliza kumwambia Sauli maneno hayo, Sauli akasema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Sauli akapaaza sauti yake, akalia.+