2 Samweli 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!” Luka 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini kulikuwako mjane katika jiji hilo naye akawa akimwendea,+ akisema, ‘Hakikisha kwamba nitapata haki kutoka kwa mshitaki wangu.’
4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!”
3 Lakini kulikuwako mjane katika jiji hilo naye akawa akimwendea,+ akisema, ‘Hakikisha kwamba nitapata haki kutoka kwa mshitaki wangu.’