-
Yeremia 31:34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na mwenzake wala kila mtu na ndugu yake,+ wakisema, ‘Mjueni Yehova!’+ kwa maana wote watanijua mimi, kuanzia yule aliye mdogo zaidi kati yao mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, na dhambi yao sitaikumbuka tena.”+
-
-
Danieli 9:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 “Kuna majuma 70 ambayo yameamuliwa juu ya watu wako+ na juu ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha makosa,+ na kumaliza kabisa dhambi,+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa,+ na kuleta uadilifu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kupiga muhuri+ juu ya maono na nabii, na kupatia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.+
-