Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Andiko linasema: “Yeyote anayemwamini+ hatakata tamaa.”+ Wagalatia 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Andiko+ liliyafunga mambo yote pamoja katika kifungo cha dhambi,+ ili ahadi inayotokana na imani kumwelekea Yesu Kristo ipewe wale wanaoamini.+
22 Lakini Andiko+ liliyafunga mambo yote pamoja katika kifungo cha dhambi,+ ili ahadi inayotokana na imani kumwelekea Yesu Kristo ipewe wale wanaoamini.+