Yohana 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwizi+ haji isipokuwa aje kuiba na kuua na kuharibu.+ Mimi nimekuja ili wapate kuwa na uzima na wapate kuwa nao kwa wingi. Waroma 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+
10 Mwizi+ haji isipokuwa aje kuiba na kuua na kuharibu.+ Mimi nimekuja ili wapate kuwa na uzima na wapate kuwa nao kwa wingi.
25 Mungu alimweka kuwa toleo la kupatanisha+ kupitia imani katika damu+ yake. Ilikuwa hivyo ili kuonyesha wazi uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu alikuwa akizisamehe dhambi+ zilizotokea wakati uliopita wakati Mungu alipokuwa akivumilia kwa subira;+