Zaburi 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mwanamume asiye na kosa, wewe utatenda kwa njia isiyo na kosa;+ Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. Mathayo 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa;+ na kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi.+
25 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mwanamume asiye na kosa, wewe utatenda kwa njia isiyo na kosa;+