Mwanzo 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+
16 Malaika ambaye amekuwa akiniponya katika misiba yote,+ awabariki wavulana hawa.+ Na jina langu liitwe juu yao na pia jina la baba zangu, Abrahamu na Isaka,+Na waongezeke wawe wengi katikati ya dunia.”+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+