1 Mambo ya Nyakati 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.’+ Zaburi 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+ Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?
6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+ Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+
7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?