Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Akisema, ‘Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.’+

  • Zaburi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sasa najua kwamba hakika Yehova humwokoa mtiwa-mafuta wake.+

      Humjibu kutoka katika mbingu zake takatifu+

      Kwa matendo ya kuokoa yenye nguvu ya mkono wake wa kuume.+

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+

  • Luka 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki