Mwanzo 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini sasa mrudishe mke wa huyo mwanamume, kwa maana yeye ni nabii,+ naye atakuombea dua.+ Kwa hiyo uendelee kuishi. Lakini ikiwa humrudishi, jua kwamba utakufa hakika, wewe na wote walio wako.”+ Zaburi 105:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+
7 Lakini sasa mrudishe mke wa huyo mwanamume, kwa maana yeye ni nabii,+ naye atakuombea dua.+ Kwa hiyo uendelee kuishi. Lakini ikiwa humrudishi, jua kwamba utakufa hakika, wewe na wote walio wako.”+