Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova pia akamkasirikia sana Haruni kufikia hatua ya kumwangamiza;+ lakini niliomba dua+ pia kwa ajili ya Haruni wakati huo.

  • Ayubu 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa chukueni ng’ombe-dume saba+ na kondoo-dume saba+ kisha mwende kwa mtumishi wangu Ayubu, nanyi mtoe dhabihu ya kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe; na Ayubu mtumishi wangu atasali kwa ajili yenu.+ Nitakubali uso wake peke yake ili nisiwatendee ninyi upumbavu wenye kufedhehesha, kwa maana hamkusema mambo ya kweli kunihusu mimi, kama mtumishi wangu Ayubu.”+

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni+ waziwazi dhambi zenu kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe.+ Dua ya mtu mwadilifu, inapofanya kazi, ina nguvu nyingi.+

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho+ ya Yehova yako juu ya waadilifu, na masikio yake yanaielekea dua yao;+ bali uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda mambo mabaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki