Mwanzo 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye Abrahamu akaanza kumwomba dua Mungu wa kweli;+ naye Mungu akamponya Abimeleki na mke wake na vijakazi wake, nao wakaanza kuzaa watoto. Yakobo 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sala ya imani itamponya huyo asiyejisikia vizuri,+ na Yehova atamwinua.+ Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.+
17 Naye Abrahamu akaanza kumwomba dua Mungu wa kweli;+ naye Mungu akamponya Abimeleki na mke wake na vijakazi wake, nao wakaanza kuzaa watoto.
15 Na sala ya imani itamponya huyo asiyejisikia vizuri,+ na Yehova atamwinua.+ Pia, ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.+