Isaya 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na hakuna mkaaji atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+ Watu wanaokaa katika nchi hiyo watakuwa wamesamehewa kosa lao.+ Mathayo 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+
24 Na hakuna mkaaji atakayesema: “Mimi ni mgonjwa.”+ Watu wanaokaa katika nchi hiyo watakuwa wamesamehewa kosa lao.+
2 Na, tazama! wakamletea mtu aliyepooza akiwa amelala juu ya kitanda.+ Alipoona imani yao Yesu akamwambia yule mwenye kupooza: “Jipe moyo, mwanangu; dhambi zako zimesamehewa.”+