Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu. Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+
7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.