Ayubu 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo angekuambia siri za hekima,Kwa kuwa mambo ya hekima inayotumika ni mengi.Pia, ungejua kwamba Mungu anaruhusu sehemu ya makosa yako yasahaulike kwa ajili yako.+ Ayubu 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama! Yeye hana imani na watakatifu wake,+Na mbingu zenyewe kwa kweli si safi machoni pake.+ Ayubu 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Je, mwanamume anaweza kuwa na faida kwa Mungu mwenyewe,+Kwamba mtu mwenye ufahamu awe na faida kwake?
6 Ndipo angekuambia siri za hekima,Kwa kuwa mambo ya hekima inayotumika ni mengi.Pia, ungejua kwamba Mungu anaruhusu sehemu ya makosa yako yasahaulike kwa ajili yako.+
2 “Je, mwanamume anaweza kuwa na faida kwa Mungu mwenyewe,+Kwamba mtu mwenye ufahamu awe na faida kwake?