20 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na huyu akaanza kusema hivi, na yule akasema vile.+
30 ndipo nilipokuwa kando yake nikiwa stadi wa kazi,+ nami nikawa yule ambaye yeye alimpenda sana+ kwa njia ya pekee siku baada ya siku, nami nikawa nikifurahi mbele zake wakati wote,+