-
Ayubu 11:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ndipo angekufunulia siri za hekima,
Kwa maana hekima inayotumika ina vipengele vingi.
Kisha ungetambua kwamba Mungu huruhusu baadhi ya makosa yako yasahauliwe.
-