Ayubu 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo angekuambia siri za hekima,Kwa kuwa mambo ya hekima inayotumika ni mengi.Pia, ungejua kwamba Mungu anaruhusu sehemu ya makosa yako yasahaulike kwa ajili yako.+
6 Ndipo angekuambia siri za hekima,Kwa kuwa mambo ya hekima inayotumika ni mengi.Pia, ungejua kwamba Mungu anaruhusu sehemu ya makosa yako yasahaulike kwa ajili yako.+