Mwanzo 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sasa mrudishe mke wa mwanamume huyo, kwa maana mwanamume huyo ni nabii,+ atakuombea dua,+ nawe utaendelea kuishi. Lakini usipomrudisha, ujue kwamba kwa hakika utakufa, wewe na watu wako wote.” Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:7 “Kila Andiko,” uku. 18
7 Sasa mrudishe mke wa mwanamume huyo, kwa maana mwanamume huyo ni nabii,+ atakuombea dua,+ nawe utaendelea kuishi. Lakini usipomrudisha, ujue kwamba kwa hakika utakufa, wewe na watu wako wote.”