Zaburi 105:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+
14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+