2 Samweli 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi Hushai, rafiki+ ya Daudi, akaingia jijini. Absalomu+ naye akaingia Yerusalemu. 1 Mambo ya Nyakati 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Ahithofeli+ alikuwa mshauri+ wa mfalme; na Hushai+ Mwarki,+ alikuwa rafiki ya mfalme.+