2 Samweli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!” 1 Mambo ya Nyakati 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Ahithofeli+ alikuwa mshauri+ wa mfalme; na Hushai+ Mwarki,+ alikuwa rafiki ya mfalme.+ Methali 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+
16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!”