2 Samweli 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mfalme akamuuliza Siba: “Kwa nini umeleta vitu hivi?” Siba akamjibu: “Punda ni kwa ajili ya nyumba ya mfalme ili wapande juu yao, mikate na matunda ya kiangazi ni kwa ajili ya vijana, na divai ni kwa ajili ya wale watakaochoka nyikani.”+
2 Mfalme akamuuliza Siba: “Kwa nini umeleta vitu hivi?” Siba akamjibu: “Punda ni kwa ajili ya nyumba ya mfalme ili wapande juu yao, mikate na matunda ya kiangazi ni kwa ajili ya vijana, na divai ni kwa ajili ya wale watakaochoka nyikani.”+