Mwanzo 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Baadaye Abimeleki akamjia kutoka Gerari pamoja na Ahuzathi rafiki yake wa karibu na Fikoli mkuu wa jeshi lake.+ 1 Wafalme 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na Azaria mwana wa Nathani+ alikuwa juu ya wasaidizi, na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki+ ya mfalme; Methali 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+ Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+
26 Baadaye Abimeleki akamjia kutoka Gerari pamoja na Ahuzathi rafiki yake wa karibu na Fikoli mkuu wa jeshi lake.+
5 na Azaria mwana wa Nathani+ alikuwa juu ya wasaidizi, na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki+ ya mfalme;
24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+