14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atajitafutia mtu anayekubalika kwa moyo wake;+ na Yehova atamweka kuwa kiongozi+ juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukushika yale aliyokuamuru Yehova.”+
28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+