19 Kana kwamba hilo ni jambo dogo machoni pako, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, na bado pia unasema habari za nyumba ya mtumishi wako mpaka wakati mrefu ujao; na hii ndiyo sheria iliyotolewa kwa ajili ya wanadamu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+