1 Wafalme 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na baba yake hakuumiza hisia zake wakati wowote kwa kusema: “Kwa nini umefanya hivi?”+ Naye pia alikuwa na umbo zuri sana,+ na mama yake alimzaa baada ya Absalomu.
6 Na baba yake hakuumiza hisia zake wakati wowote kwa kusema: “Kwa nini umefanya hivi?”+ Naye pia alikuwa na umbo zuri sana,+ na mama yake alimzaa baada ya Absalomu.