Kumbukumbu la Torati 6:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako, 7 nawe lazima uyakazie* kwa wanao+ na kuongea kuyahusu unapoketi nyumbani mwako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+ Methali 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ujinga umefungwa katika moyo wa mvulana,*+Lakini fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+
6 Maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako, 7 nawe lazima uyakazie* kwa wanao+ na kuongea kuyahusu unapoketi nyumbani mwako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+
4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+
6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+