Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzoeze mvulana* njia anayopaswa kuifuata;+Hata atakapozeeka hataiacha.+ Methali 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ujinga umefungwa katika moyo wa mvulana,*+Lakini fimbo ya nidhamu ndiyo itakayouondolea mbali.+
24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+