Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+
24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+