12 Siku hiyo nitamtendea Eli mambo yote niliyosema kuhusu nyumba yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho.+ 13 Ni lazima umwambie kwamba ninailetea nyumba yake hukumu ya kudumu kwa sababu ya dhambi ambayo anaijua,+ kwa maana wanawe wanamtukana Mungu,+ lakini hajawakemea.+