Kumbukumbu la Torati 6:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako, 7 nawe lazima uyakazie* kwa wanao+ na kuongea kuyahusu unapoketi nyumbani mwako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+ Methali 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova,+Wala usichukie karipio lake,+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzoeze mvulana* njia anayopaswa kuifuata;+Hata atakapozeeka hataiacha.+
6 Maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako, 7 nawe lazima uyakazie* kwa wanao+ na kuongea kuyahusu unapoketi nyumbani mwako na unapotembea barabarani na unapolala na unapoamka.+
11 Mwanangu, usikatae nidhamu ya Yehova,+Wala usichukie karipio lake,+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+ Methali 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzoeze mvulana* njia anayopaswa kuifuata;+Hata atakapozeeka hataiacha.+