Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+ Waefeso 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+
24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+
4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+