Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa mtu anayemdharau baba yake au mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi wenu+ katika muungano na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu.
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+