Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Amelaaniwa mtu anayemdharau baba yake au mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

  • Methali 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+

      Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+

  • Waefeso 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Enyi watoto, watiini wazazi wenu+ katika muungano na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki