Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+

  • 1 Wakorintho 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

  • Waefeso 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Pia, msilewe divai,+ ambayo ina upotovu,* bali endeleeni kujazwa roho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki