20 na kuwaambia hivi wazee wa jiji lake: ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi, anakataa kututii. Ni mlafi+ na mlevi.’+21 Basi watu wote wa jiji lake watamuua kwa kumpiga mawe. Kwa hiyo ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu, na Waisraeli wote watasikia na kuogopa.+
3 Kwa maana wakati uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa,+ mlipofanya vitendo vya mwenendo mpotovu,* uchu, kunywa kupita kiasi, karamu zenye vurugu,* mashindano ya kunywa, na ibada za sanamu zenye kuchukiza.+