Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo ni vurugu;+

      Yeyote anayepotoshwa navyo hana hekima.+

  • Isaya 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ole wao wanaoamka asubuhi na mapema ili wanywe kileo,+

      Wanaokawia hadi giza linapoingia jioni mpaka divai inapowawasha!

  • Waroma 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+

  • 1 Petro 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana wakati uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa,+ mlipofanya vitendo vya mwenendo mpotovu,* uchu, kunywa kupita kiasi, karamu zenye vurugu,* mashindano ya kunywa, na ibada za sanamu zenye kuchukiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki